Thursday, 10 November 2016
Mi naumwa nakichwa nikisikitika juu ya viongozi wetu wa county na
national government at large, mbona munashindwa kufafanua msemo rahisi
wa wahenga kuwa.. Mtu akikuomba ASALI muonyeshe jinsi ya kutengeneza
muzinga....!!! Just imatgine ma dear friends, ati kiongozi anaitana watu
waende kuchukua msaada wa mahindi-2kg, maharagwe-1kg, mafuta uto- 1/2of
1/4.. Sawa na hawa watu walienda kwenye kituo kuanzia saa NNE wamerudi
5,. Sina shida na hilo but badala ya kufikiria juu ya kuwaletea watu
msaada mbona usitafute jinsi utatusaidia juu ya rain water harvesting na
kuletea watu watalamu wa kilimo wafundiswe juu ya kujilimia chakula
chao wenyewe? Tujifunze na Israel na wengi washaenda kujionea huko kwa
pesa ya mlipa ushuru, he walpofudi waliojifunza mbona hatuyaoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment